Kijana mmoja aliyefahamika wa kwa jina la
Kobero, leo asubuhi amekutwa akiwa amekufa kwenye chumba kimoja cha
nyumba ambayo ilikuwa haijamalizika kujengwa maeneo ya Kigogo Luhanga
jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, marehemu
alikutwa na chupa iliyokuwa na masalia ya pombe haramu aina ya gongo.
Mpaka paparazi wetu anaondoka eneo la tukio askari polisi walikuwa bado
hawajafika kwa ajili ya kuuchukua mwili na kuanza upelelezi wa tukio
hilo.
Vodacom Tanzania Foundation Yaweka Kambi za Afya Bure Zanzibar Kupambana na
Magonjwa Yasiyoambukiza
-
*Mkurugenzi wa Idara ya Tiba Zanzibar, Dkt. Msafiri Marijani (wa pili
kushoto), akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa Kambi ya Huduma za Afya
iliyoandal...
30 minutes ago




No comments:
Post a Comment