Kijana mmoja aliyefahamika wa kwa jina la
Kobero, leo asubuhi amekutwa akiwa amekufa kwenye chumba kimoja cha
nyumba ambayo ilikuwa haijamalizika kujengwa maeneo ya Kigogo Luhanga
jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, marehemu
alikutwa na chupa iliyokuwa na masalia ya pombe haramu aina ya gongo.
Mpaka paparazi wetu anaondoka eneo la tukio askari polisi walikuwa bado
hawajafika kwa ajili ya kuuchukua mwili na kuanza upelelezi wa tukio
hilo.
NIDA yakabidhi Serikali zaidi ya shilingi bilioni 61
-
Dar es Salaam, 1 Julai 2026 Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)
inapenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa tarehe 30 Juni 2026,
imekabidhi Serikal...
5 hours ago




No comments:
Post a Comment