Kijana mmoja aliyefahamika wa kwa jina la
Kobero, leo asubuhi amekutwa akiwa amekufa kwenye chumba kimoja cha
nyumba ambayo ilikuwa haijamalizika kujengwa maeneo ya Kigogo Luhanga
jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, marehemu
alikutwa na chupa iliyokuwa na masalia ya pombe haramu aina ya gongo.
Mpaka paparazi wetu anaondoka eneo la tukio askari polisi walikuwa bado
hawajafika kwa ajili ya kuuchukua mwili na kuanza upelelezi wa tukio
hilo.
Wanafunzi 40 Mabalozi wa Utalii Watembelea Ngorongoro na Serengeti
-
Na Pamela Mollel,Babati
Wanafunzi 40 kutoka shule nne zilizopo ndani ya Hifadhi ya Jamii ya
Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) wilayani Babati, mkoa wa M...
1 hour ago




No comments:
Post a Comment