Kijana mmoja aliyefahamika wa kwa jina la
Kobero, leo asubuhi amekutwa akiwa amekufa kwenye chumba kimoja cha
nyumba ambayo ilikuwa haijamalizika kujengwa maeneo ya Kigogo Luhanga
jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, marehemu
alikutwa na chupa iliyokuwa na masalia ya pombe haramu aina ya gongo.
Mpaka paparazi wetu anaondoka eneo la tukio askari polisi walikuwa bado
hawajafika kwa ajili ya kuuchukua mwili na kuanza upelelezi wa tukio
hilo.
MWANAMKE CHUMA MAENDELEO GROUP YAWAKUMBUKA WAFUNGWA WANAWAKE GEREZA LA
KAHAMA
-
Na Kadama Malunde - Kahama
Katika kuendeleza jitihada za kijamii na kuonesha mshikamano wa dhati kwa
wanawake wenzao, Kikundi cha wanawake maarufu kinacho...
1 hour ago




No comments:
Post a Comment