Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akitoa heshima za mwisho mblele ya jeneza lenye mwili wa
aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, marehemu, Timoth Apiyo,
aliyefariki dunia nchini Afrika ya Kusini alikokuwa amelazwa kutokana
na kusumbuliwa
na maradhi. Shughuli hiyo ya kuaga mwili wa marehemu imefanyika leo
Juni 15, 2013 kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, na baadaye mwili ulisafirishwa kuelekea Mkoani Mara kwa maziko. Picha na OMR
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
-
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Beno malisa ametoa wito kwa wakazi wa mkoa wa mbeya
kuzilinda tunu za taifa za amani,umoja na mshikamano kuelekea sikukuu za
mwish...
22 minutes ago









No comments:
Post a Comment