Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akitoa heshima za mwisho mblele ya jeneza lenye mwili wa
aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, marehemu, Timoth Apiyo,
aliyefariki dunia nchini Afrika ya Kusini alikokuwa amelazwa kutokana
na kusumbuliwa
na maradhi. Shughuli hiyo ya kuaga mwili wa marehemu imefanyika leo
Juni 15, 2013 kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, na baadaye mwili ulisafirishwa kuelekea Mkoani Mara kwa maziko. Picha na OMR
TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN) PLEDGES SUPPORT TO PROMOTE POSITIVE
DEVELOPMENT STORIES ON DIGITAL ARENAS
-
*TBN Chairman Beda Msimbe speaks during a meeting with a delegation from
the Public Service Social Security Fund (PSSSF) on Monday, September 7,
2026, at...
3 hours ago









No comments:
Post a Comment