Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akitoa heshima za mwisho mblele ya jeneza lenye mwili wa
aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, marehemu, Timoth Apiyo,
aliyefariki dunia nchini Afrika ya Kusini alikokuwa amelazwa kutokana
na kusumbuliwa
na maradhi. Shughuli hiyo ya kuaga mwili wa marehemu imefanyika leo
Juni 15, 2013 kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, na baadaye mwili ulisafirishwa kuelekea Mkoani Mara kwa maziko. Picha na OMR
WRRB YAJADILI MABORESHO YA KANUNI, YAWEKA MIKAKATI MIPYA YA MIAKA MITANO
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw.
Asangye Bangu, amesema Bodi inatarajia kuongeza bidhaa nyingine tano katika ...
1 hour ago









No comments:
Post a Comment