Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akitoa heshima za mwisho mblele ya jeneza lenye mwili wa
aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, marehemu, Timoth Apiyo,
aliyefariki dunia nchini Afrika ya Kusini alikokuwa amelazwa kutokana
na kusumbuliwa
na maradhi. Shughuli hiyo ya kuaga mwili wa marehemu imefanyika leo
Juni 15, 2013 kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, na baadaye mwili ulisafirishwa kuelekea Mkoani Mara kwa maziko. Picha na OMR
Airtel Tanzania Yaendelea Kuimarisha Dhamira ya Kukuza Uchumi wa Kidijitali
na Thamani kwa Wanahisa Katika Mkutano wa Minority Interest Forum 2026
-
Arusha, Tanzania
KAMPUNI Airtel Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama mshirika
muhimu katika mabadiliko ya uchumi na maendeleo ya kidijitali nch...
45 minutes ago









No comments:
Post a Comment