Mwisho Mwampamba
mshiriki wa Big Brother ya kwanza kabisa baada ya kimya kingi chakuweka
makazi pande za Namibia yeye na familia yake, sasa hivi amerudi nyumbani
na amekuja kikazi zaidi na kuamua kufungua duka la toy za watoto lenye
kila kitu ambavyo mtoto atachezea. Duka hili lipo maeneo ya Sinza
Palestina linatizamana na msikiti mkuu.
VIJANA WAHIMIZWA KUPATA ELIMU YA FEDHA WAKATI COOP BANK IKIPANUA WIGO WA
HUDUMA ZAKE
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
WAZIRI katika Ofisi ya Rais anayeshughulikia Maendeleo ya Vijana, Joel
Nanauka, amewataka vijana nchini kuzingatia elimu ya ...
6 hours ago




No comments:
Post a Comment