Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, July 10, 2013

Amber Rose na Wiz Khalifa Rasmi Wafunga Ndoa

Wiz K & Amber
Mwanamitindo mrembo na mwenye mvuto wa kipekee, Amber Rose, 29 na baba wa mtoto wake, Wiz Khalifa, 25, ambaye pia ni rapa mkali wa ngoma ya Black and Yellow wamefunga pingu za misha.

Kwa sasa wawili haoa wana mtoto wa kiume aitwaye Sebastian 'The Bash' Taylor Thomaz.

Angalia picha na tweets  zao hapo chini....




No comments:

Post a Comment