Kwa taarifa tulizopata ambazo siyo rasmi zinasema kuwa bakhresa atakuja na king'amuzi chake ambacho kitauzwa
Tshs.30000 na utalipia Tshs. 2000 kwa mwezi.Ina channel 100+. Mwenye
habari zaidi atujuze.
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
1 day ago


No comments:
Post a Comment