Kwa taarifa tulizopata ambazo siyo rasmi zinasema kuwa bakhresa atakuja na king'amuzi chake ambacho kitauzwa
Tshs.30000 na utalipia Tshs. 2000 kwa mwezi.Ina channel 100+. Mwenye
habari zaidi atujuze.
MIKOA 9 KUNUFAIKA MPANGO WA KUWAVUTIA VIJANA KATIKA KILIMO CHA KISASA.
-
Vijana katika mikoa tisa nchini wanatarajiwa kunufaika na Programu ya
Mifumo Himilivu ya Chakula inayotekelezwa na Wizara ya Kilimo kwa lengo la
kuongeza...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment