Kwa taarifa tulizopata ambazo siyo rasmi zinasema kuwa bakhresa atakuja na king'amuzi chake ambacho kitauzwa
Tshs.30000 na utalipia Tshs. 2000 kwa mwezi.Ina channel 100+. Mwenye
habari zaidi atujuze.
Kimataifa : Tanzania na Belarus Kuendeleza Ushirikiano
-
MHESHIMIWA Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameihakikishia Jamhuri ya Belarus
kuwa Tanzania itaendeleza ushirikiano na nchini hiyo na kwamba amewaalika
waw...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment