DAH::TUMECHOKA NA WEZI WA VIFAA VYA MAGARI.ANGALIA PICHA JINSI GARI AINA YA IST ILIVYOKOMBWA VITU NA KUBAKI KAMA SCREPA
Gari aina ya Toyota ist
lenye namba T 635 CEP kama linavyoonekana pichani limeibiwa na wezi
vifaa mbalimbali eneo la Buguruni Chama usiku wa kuamkia leo kama
lilivyo kutwa na mwandishi wetu, hadi tunaondoka eneo la tukio saa 1:30
asubuhi mwenye gari alikuwa hajaonekana.
Kioo kidogo cha nyuma kilivunjwa na taa kung'olewa.
NYAKATI NGUMU HUPITA - ALI KAMWE
-
Licha ya kipigo kutoka kwa MC Alger, Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu
ya Yanga, Ali Kamwe, ameonyesha matumaini makubwa na kuhimiza mashabiki na
wan...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi I
-
*1. IMDB*
www.imdb.com
*2. IPP Media*
www.ippmedia.com
*3. Idhaa ya kiswahili DW.DE*
www.dw.de/idhaa-ya-kiswahili/s-11588
*4. Idawa Onlin...
No comments:
Post a Comment