Wakati
tukiwa katika karne ya 21 huku tukiwa tunashuhudia teknolijia
mbalimbali duniani ambazo simekufanya kushangaa na kuona kama ni kiini
macho huamini amini hivi katika kuendeleza teknolojia iko Mercedes Benz
ya 2014 S550 ambayo ukishaiwasha unaweka setting inajiendesha yenyewe
wewe ukiwa umekaa na kuenjoy the drive ya 2014 Mercedes benz S550 , bei
yake bado haijajulikana itauzwa kiasi gani. Hapa ndipo utakapojua
Wabongo wabishi mzigo ukiingia tu sokoni mwakani siku chache baadae
mchuma utaonekana ukicruise katika barabara za Bongo..Big up yourself
kwa kampuni ya Benz.CHANZO CLOUDS MEDIA
MBUNGE RWAKATARE AWATEMBELEA MABINTI 300 FDC IFAKARA, AWAPATIA MAHITAJI
MUHIMU
-
Mhe Mbunge wa Jimbo la Mlimba,Dkt KellenRose Rwakatare, ametembelea mabinti
300 wanaosoma katika Chuo cha Maendeleo FDC Ifakara na kuwapatia mahitaji
mbali...
1 hour ago



No comments:
Post a Comment