Wakati
tukiwa katika karne ya 21 huku tukiwa tunashuhudia teknolijia
mbalimbali duniani ambazo simekufanya kushangaa na kuona kama ni kiini
macho huamini amini hivi katika kuendeleza teknolojia iko Mercedes Benz
ya 2014 S550 ambayo ukishaiwasha unaweka setting inajiendesha yenyewe
wewe ukiwa umekaa na kuenjoy the drive ya 2014 Mercedes benz S550 , bei
yake bado haijajulikana itauzwa kiasi gani. Hapa ndipo utakapojua
Wabongo wabishi mzigo ukiingia tu sokoni mwakani siku chache baadae
mchuma utaonekana ukicruise katika barabara za Bongo..Big up yourself
kwa kampuni ya Benz.CHANZO CLOUDS MEDIA
Wenye uzito uliopitilizwa waitwa kufanyiwa matibabu
-
*Kambi maalum inaanza Jumatatu hadi Septemba 11
Na Mwandishi Wetu
HOSPITALI ya Shifaa Pan African ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imeandaa
kambi maalum...
7 hours ago



No comments:
Post a Comment