Katika majira ya saa moja jioni maeneo ya Mbezi Beach katika hosp ya MASANA mchumba wa msanii wa hip hop nchini
Mabeste amejifungua mtoto wa kiume. Ni furaha sana aliyonayo Mabeste now
na mungu ni mkubwa kwa kila jambo. Mungu awajalie maisha mapya
wanayoyaanza kwa sasa na wamlee mtoto wao kwa amani na furaha tele
IGP Wambura afungua mafunzo ya kuimarisha maadili, weledi na uwajibikaji
Jeshi la Polisi
-
*Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Camillus Wambura, amefungua rasmi
mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kiutendaji Sekretarieti ya Maadili ya Makao
Makuu ya...
33 minutes ago


No comments:
Post a Comment