Katika majira ya saa moja jioni maeneo ya Mbezi Beach katika hosp ya MASANA mchumba wa msanii wa hip hop nchini
Mabeste amejifungua mtoto wa kiume. Ni furaha sana aliyonayo Mabeste now
na mungu ni mkubwa kwa kila jambo. Mungu awajalie maisha mapya
wanayoyaanza kwa sasa na wamlee mtoto wao kwa amani na furaha tele
WASHAURI WA WANAFUNZI WATAKIWA KUENDANA NA MABADILIKO YA KIDIJITALI
-
Na Oscar Assenga,TANGA
SERIKALI imekipongeza Chama cha Washauri wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu
Tanzania (TACOGA) kwa kuendelea kuandaa mafunzo yanayole...
8 hours ago


No comments:
Post a Comment