Katika majira ya saa moja jioni maeneo ya Mbezi Beach katika hosp ya MASANA mchumba wa msanii wa hip hop nchini
Mabeste amejifungua mtoto wa kiume. Ni furaha sana aliyonayo Mabeste now
na mungu ni mkubwa kwa kila jambo. Mungu awajalie maisha mapya
wanayoyaanza kwa sasa na wamlee mtoto wao kwa amani na furaha tele
WAZIRI MKUU ATIMIZA AHADI YA PIKIPIKI 10 KWA VIKUNDI VYA BODABODA RUNGWE
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametimiza ahadi yake ya kutoa pikipiki
10 kwa vikundi vya waendesha bodaboda wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, ikiwa
ni j...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment