Katika majira ya saa moja jioni maeneo ya Mbezi Beach katika hosp ya MASANA mchumba wa msanii wa hip hop nchini
Mabeste amejifungua mtoto wa kiume. Ni furaha sana aliyonayo Mabeste now
na mungu ni mkubwa kwa kila jambo. Mungu awajalie maisha mapya
wanayoyaanza kwa sasa na wamlee mtoto wao kwa amani na furaha tele
TRAMEPRO Yapinga Ushirikina Unaohatarisha Amani ya Jamii
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*SHIRIKA la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira (TRAMEPRO)limetoa ufafanuzi
kuwa kwa mujibu wa taaluma ya afya na sayansi ya mwili wa ...
36 minutes ago


No comments:
Post a Comment