Timu ya Azam Academy imefanikiwa kuingia fainali ya Mashindano ya Kombe la Rolling Stone 2013
Kutoka
Arusha: Timu ya Azam Academy imefanikiwa kuingia fainali ya Mashindano
ya Kombe la Rolling Stone 2013 baada ya kuwatoa Coastal Union B' kwa
penati ya 5-4 kwenye mchezo wa nusu fainali iliyochezwa leo asubuhi
Uwanja wa General Tyre, kabla ye penati mechi ilimalizika kwa timu zote
kutoka suluhu (0-0)!
Kabla ya penati mechi timu hizo zilimaliza muda wa kawaida zikiwa hazijafungana (0-0).
Mikwaju ya penati ya Azam Academy ilifungwa na Abdul Mgaya, Ismail Adam Gambo, Kelvin Friday, Adam Shoba na Abdalah Shirazi
Azam Academy itakutana na Eagle ya Tanga katika mchezo wa fainali
itakayochezwa siku ya Jumanne, timu hizo zinakutana kwa mara ya pili
baada ya kucheza hatua ya makundi ambapo Azam Academy waliifunga Eagle
3-0.
KIPAJI PEKEE HAKITOSHI KUFANYA KAZI ZA KIHABARI
-
*Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),
Wakili Patrick Kipangula*
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
Bodi ya Ithibati y...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment