Majeruhi wa ajali
hiyo wakiwa hospitali kwa ajili ya matibabu mara baada ya ajali hiyo
iliyouwa watu wanne.ajali hiyo ilitokea mapema leo mchana wakati basi
hilo lilokuwa linatkea dar es salam kwenda mwanza endelea kupitia
audifacejackson blog.Na ndipo basi hilo lulipopata pancha na kupinduka
mkoani dodoma
SERIKALI YATOA WITO KWA DIASPORA KUWEKEZA NYUMBANI
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. David
Cosato Chumi (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Afri...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment