Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, July 19, 2013

WATU WANNE WAMEFARIKI DUNIA KWA AJALI YA BASI LA NAJMUNISA NA WENGINE 10 WAKIWA MAJERUHI


 WATU wanne wamefariki dunia huku wengine 10 wakijeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Najimunisha lililokuwa likitokea Dar es Saalam kwenda Mwanza kupasuka tairi la mbele na Kupinduka katika eneo la Mbande Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma LEO.
Majeruhi wa ajali hiyo wakiwa hospitali kwa ajili ya matibabu mara baada ya ajali hiyo iliyouwa watu wanne.ajali hiyo ilitokea mapema leo mchana wakati basi hilo lilokuwa linatkea dar es salam kwenda mwanza endelea kupitia audifacejackson blog.Na ndipo basi hilo lulipopata pancha na kupinduka mkoani dodoma


No comments:

Post a Comment