Majeruhi wa ajali
hiyo wakiwa hospitali kwa ajili ya matibabu mara baada ya ajali hiyo
iliyouwa watu wanne.ajali hiyo ilitokea mapema leo mchana wakati basi
hilo lilokuwa linatkea dar es salam kwenda mwanza endelea kupitia
audifacejackson blog.Na ndipo basi hilo lulipopata pancha na kupinduka
mkoani dodoma
WANAFUNZI WA MRIJO JUU WANUFAIKA NA MSAADA WA VIFAA VYA HEDHI KUIMARISHA
ELIMU YA WASICHANA
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Mrijo Juu iliyopo wilayani
Chemba mkoani Dodoma wamepata nafuu ya changamoto zi...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment