Majeruhi wa ajali
hiyo wakiwa hospitali kwa ajili ya matibabu mara baada ya ajali hiyo
iliyouwa watu wanne.ajali hiyo ilitokea mapema leo mchana wakati basi
hilo lilokuwa linatkea dar es salam kwenda mwanza endelea kupitia
audifacejackson blog.Na ndipo basi hilo lulipopata pancha na kupinduka
mkoani dodoma
Muungano : Waziri Masauni Ahimiza Vijana Kulinda Misingi ya Muungano
-
Na; Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe.
Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa taasisi za e...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment