Majeruhi wa ajali
hiyo wakiwa hospitali kwa ajili ya matibabu mara baada ya ajali hiyo
iliyouwa watu wanne.ajali hiyo ilitokea mapema leo mchana wakati basi
hilo lilokuwa linatkea dar es salam kwenda mwanza endelea kupitia
audifacejackson blog.Na ndipo basi hilo lulipopata pancha na kupinduka
mkoani dodoma
Wananchi wa Babati wanufaika na Bima ya Afya kwa Wote, RC Sendiga aongoza
zoezi Imbilili
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara.*
*WANANCHI wa kaya maskini katika Kijiji cha Imbilili, Kata ya Sigino,
Wilaya ya Babati mkoani Manyara, wameanza kunufaika na...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment