Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, July 18, 2013

ZIARA YA WAZIRI MKUU MHE. MINZENGO PINDA MKOANI RUVUMA

IMG_0040 IMG_0046 Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda (wapili kushoto)akitazama kazi za mikono  alizozawadiwa na  wanawake wa
Lituhi wilayani Nyassa akiwa  katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 17,2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0103 IMG_0109Waziri Mkuu, Mizenfo pinfa akiwapungia wananchi wa kijiji cha Kiagara wilayani nyassa akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 18, 2013.  Kulia ni mkew Tunu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0246 IMG_0309 IMG_0311Msanii wa Kikunidi cha Muungano cha Mbambabay wilaybi Mbinga , Jaji Mbele akipiga Ngoma wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipohutubia mkutano wa hahara katika mji mdogo wa Mbambabay akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 17,2013. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)

No comments:

Post a Comment