Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, August 19, 2013

AFYA:- FAIDA YA TANGAWIZI (GINGER)

~
~~~FAIDA YA TANGAWIZI (GINGER)~~~
A/Alleykum,
Tangawizi ina faida kubwa katika miili yetu hata hivyo Tangawizi ni dawa ya Kikohozi,Tangawizi inasaidia kuondowa Baridi mwilini,Tangawizi inasaidia kuondowa Gesi ndani ya tumbo,Tangawizi inatibu mtu mwenye matatizo ya Tumbo haswa Tumbo linalosokota .Ukitumia Tangawizi iliyopikwa kwa sukari Ukitumia kwa glasi 3 za maji moto kwa siku inasaidia kuchangamsha Mzunguko wa Damu mwilini.Na pia Tangawizi husaidia kuondosha ute wa mdomo.Pia ukinywa hiyo Tangawizi uliochemsha kwa maji ya moto na sukari husaidia kuondosha riyahi na kuvimbiwa na tumbo.

NAMNA YA KUTUMIA TANGAWIZI KWA TIBA
 Kutibu kutokusagika kwa chakula tumboni, Gesi tumboni, Msokoto wa tumbo (bila kuharisha), Kutapika, Mshtuko/Mkazo wa ghafula (wa msuli),Maumivu ya tumbo na Kibofu cha mkojo ikiambatana na Homa, Mafua, Kukohoa na Pumu.
 
TUMIA JAM YA TANGAWIZI.
 JINSI YA KUTENGENEZA JAM YA TANGAWIZI.
 Kamua TANGAWIZI mbichi kisha changanya maji yake (Juice) na Sukari. Chemsha mpaka mchanganyiko huo uwe mzito. Ongeza Zafarani iliyosagwa,Iliki iliyosagwa, Kungumanga zilizosagwa na karafuu iliosagwa. Iweke dawa hii vizuri na tumia inapo hitajika.
 
KWA KUVIMBIWA NA KUTAKA HAMU YA KULA.
 Vingineyo changanya vipimo vilivyo sawa sawa vya Juice ya TANGAWIZI na Sukari Mawe. Koroga vizuri, kunywa kabla ya kula c Changanya Juice ya TANGAWIZI, Juice ya Limau na Chumvi Mawe kwa vipimo    vilivyo sawa. Hakikisha umechanganya vizuri. Kunywa dawa hii kabla ya Chakula.
hakula. Dawa hii husafisha Ulimi na Koo na hukuongeza hamu ya kula na kukufanya mchangamfu.

MAUMIVU YA KOO NA KUKAUKA SAUTI
 Tafuna vipande vidogo vya Tangawizi.
 
KWA KUHARISHA
 Chua sehemu zinazozunguka kitovu kwa Juice ya Tangawizi.
 
KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA
 Kunywa mchanganyiko wa Juice ya Tangawizi na Juice ya Kitunguu

MAUMIVU MAKALI YA TUMBO
 Changanya kijiko kimoja cha au viwili vya Tangawizi iliyosagwa na kijiko kimoja au viwili vya mafuta ya Kastoroli. Kunywa kijiko kimoja mara mbili kwa siku.
 
BARIDI YABISI SUGU
 Changanya kijiko kimoja cha Tangawizi ya unga na vijiko 24 vya maji kunywa mchanganyiko huu ukiwa vuguvugu. Ulale na ujifunike mpaka utoe jasho.
 
KUUMWA JINO NA MAUMIVU YA KICHWA
 Chukua Tangawizi ya Unga koroga na maji kidogo iwe nzito kama tope. Jipake na uchue kwenye paji lako la uso kabla ya kulala. Kwa Jino jipake na uchuwe kwenye Shavu.

....Tangawizi si tu hutibu magonjwa mbalimbali bali pia ni kiburudisho. Mathalani, uwapo na 
mafua makali na kikohozi, osha na kisha twanga tangawizi na uichemshe katika maji kwa muda mrefu.
 Unaweza kuweka majani ya chai au maziwa na kisha kunywa taratibu ikiwa ya moto. Fanya hivyo kwa siku mbili na mafua na homa hushuka.

Faida nyingine ya tangawizi ni kurekebisha matumizi ya kina mama katika zile siku ngumu. Mathalani, iwapo tarehe zinabadilika mara kwa mara unaweza kutumia kurekebisha mwenendo wa siku hizo muhimu. 
Vile vile, tangawizi hutumika kulainisha nyama wakati inapotwangwa na kuwekwa wakati wa kuchemsha kabla ya kukaanga au kuunga mchuzi. Kiungo hiki si tu hulainisha nyama bali pia huongeza ladha ya chakula husika..''Wabbilahy touwfiq''

          ~~~~10 Health Benefits of Ginger~~~~~
Ginger has been used as a natural remedy for many ailments for centuries. Now, science is catching up and researchers around the world are finding that ginger works wonders in the treatment of everything from cancer to migraines. Here are ten health benefits of this powerful herb.
1) Ovarian Cancer Treatment
 Ginger may be powerful weapon in the treatment of ovarian cancer. A study conducted at the University of Michigan Comprehensive Cancer Center found that ginger powder induces cell death in all ovarian cancer cells to which it was applied.

2) Colon Cancer Prevention
 A study at the University of Minnesota found that ginger may slow the growth of colorectal cancer cells.

3) Morning Sickness
 A review of several studies has concluded that ginger is just as effective as vitamin B6 in the treatment of morning sickness.


4) Motion Sickness Remedy
 Ginger has been shown to be an effective remedy for the nausea associated with motion sickness.

5) Reduces Pain and Inflammation
 One study showed that ginger has anti-inflammatory properties and is a powerful natural painkiller.

6) Heartburn Relief
 Ginger has long been used as a natural heartburn remedy. It is most often taken in the form of tea for this purpose.

7) Cold and Flu Prevention and Treatment Ginger has long been used as a natural treatment for colds and the flu. Many people also find ginger to be helpful in the case of stomach flus or food poisoning, which is not surprising given the positive effects ginger has upon the digestive tract.

8)  Migraine Relief
 Research has shown that ginger may provide migraine relief due to its ability to stop prostaglandins from causing pain and inflammation in blood vessels.

9) Menstrual Cramp Relief
 In Chinese medicine, ginger tea with brown sugar is used in the treatment of menstrual cramps.

10) Prevention of Diabetic Nephropathy
 A study done on diabetic rats found that those rats given ginger had a reduced incidence of diabetic nephropathy (kidney damage).

If you want to get all the amazing health benefits of ginger, we recommend New Chapter Gingerforce. It is an organic, full-spectrum ginger extract that contains compounds not found in other ginger supplements....
FAIDA YA TANGAWIZI (GINGER)~~~
A/Alleykum,
Tangawizi ina faida kubwa katika miili yetu hata hivyo Tangawizi ni dawa ya Kikohozi,Tangawizi inasaidia kuondowa Baridi mwilini,Tangawizi inasaidia kuondowa Gesi ndani ya tumbo,Tangawizi inatibu mtu mwenye matatizo ya Tumbo haswa Tumbo linalosokota .Ukitumia Tangawizi iliyopikwa kwa sukari Ukitumia kwa glasi 3 za maji moto kwa siku inasaidia kuchangamsha Mzunguko wa Damu mwilini.Na pia Tangawizi husaidia kuondosha ute wa mdomo.Pia ukinywa hiyo Tangawizi uliochemsha kwa maji ya moto na sukari husaidia kuondosha riyahi na kuvimbiwa na tumbo.

NAMNA YA KUTUMIA TANGAWIZI KWA TIBA
Kutibu kutokusagika kwa chakula tumboni, Gesi tumboni, Msokoto wa tumbo (bila kuharisha), Kutapika, Mshtuko/Mkazo wa ghafula (wa msuli),Maumivu ya tumbo na Kibofu cha mkojo ikiambatana na Homa, Mafua, Kukohoa na Pumu.

TUMIA JAM YA TANGAWIZI.
JINSI YA KUTENGENEZA JAM YA TANGAWIZI.
Kamua TANGAWIZI mbichi kisha changanya maji yake (Juice) na Sukari. Chemsha mpaka mchanganyiko huo uwe mzito. Ongeza Zafarani iliyosagwa,Iliki iliyosagwa, Kungumanga zilizosagwa na karafuu iliosagwa. Iweke dawa hii vizuri na tumia inapo hitajika.

KWA KUVIMBIWA NA KUTAKA HAMU YA KULA.
Vingineyo changanya vipimo vilivyo sawa sawa vya Juice ya TANGAWIZI na Sukari Mawe. Koroga vizuri, kunywa kabla ya kula c Changanya Juice ya TANGAWIZI, Juice ya Limau na Chumvi Mawe kwa vipimo vilivyo sawa. Hakikisha umechanganya vizuri. Kunywa dawa hii kabla ya Chakula.
hakula. Dawa hii husafisha Ulimi na Koo na hukuongeza hamu ya kula na kukufanya mchangamfu.

MAUMIVU YA KOO NA KUKAUKA SAUTI
Tafuna vipande vidogo vya Tangawizi.

KWA KUHARISHA
Chua sehemu zinazozunguka kitovu kwa Juice ya Tangawizi.

KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA
Kunywa mchanganyiko wa Juice ya Tangawizi na Juice ya Kitunguu

MAUMIVU MAKALI YA TUMBO
Changanya kijiko kimoja cha au viwili vya Tangawizi iliyosagwa na kijiko kimoja au viwili vya mafuta ya Kastoroli. Kunywa kijiko kimoja mara mbili kwa siku.

BARIDI YABISI SUGU
Changanya kijiko kimoja cha Tangawizi ya unga na vijiko 24 vya maji kunywa mchanganyiko huu ukiwa vuguvugu. Ulale na ujifunike mpaka utoe jasho.

KUUMWA JINO NA MAUMIVU YA KICHWA
Chukua Tangawizi ya Unga koroga na maji kidogo iwe nzito kama tope. Jipake na uchue kwenye paji lako la uso kabla ya kulala. Kwa Jino jipake na uchuwe kwenye Shavu.

....Tangawizi si tu hutibu magonjwa mbalimbali bali pia ni kiburudisho. Mathalani, uwapo na
mafua makali na kikohozi, osha na kisha twanga tangawizi na uichemshe katika maji kwa muda mrefu.
Unaweza kuweka majani ya chai au maziwa na kisha kunywa taratibu ikiwa ya moto. Fanya hivyo kwa siku mbili na mafua na homa hushuka.

Faida nyingine ya tangawizi ni kurekebisha matumizi ya kina mama katika zile siku ngumu. Mathalani, iwapo tarehe zinabadilika mara kwa mara unaweza kutumia kurekebisha mwenendo wa siku hizo muhimu.
Vile vile, tangawizi hutumika kulainisha nyama wakati inapotwangwa na kuwekwa wakati wa kuchemsha kabla ya kukaanga au kuunga mchuzi. Kiungo hiki si tu hulainisha nyama bali pia huongeza ladha ya chakula husika..''Wabbilahy touwfiq''

~~~~10 Health Benefits of Ginger~~~~~
Ginger has been used as a natural remedy for many ailments for centuries. Now, science is catching up and researchers around the world are finding that ginger works wonders in the treatment of everything from cancer to migraines. Here are ten health benefits of this powerful herb.
1) Ovarian Cancer Treatment
Ginger may be powerful weapon in the treatment of ovarian cancer. A study conducted at the University of Michigan Comprehensive Cancer Center found that ginger powder induces cell death in all ovarian cancer cells to which it was applied.

2) Colon Cancer Prevention
A study at the University of Minnesota found that ginger may slow the growth of colorectal cancer cells.

3) Morning Sickness
A review of several studies has concluded that ginger is just as effective as vitamin B6 in the treatment of morning sickness.

4) Motion Sickness Remedy
Ginger has been shown to be an effective remedy for the nausea associated with motion sickness.

5) Reduces Pain and Inflammation
One study showed that ginger has anti-inflammatory properties and is a powerful natural painkiller.

6) Heartburn Relief
Ginger has long been used as a natural heartburn remedy. It is most often taken in the form of tea for this purpose.

7) Cold and Flu Prevention and Treatment Ginger has long been used as a natural treatment for colds and the flu. Many people also find ginger to be helpful in the case of stomach flus or food poisoning, which is not surprising given the positive effects ginger has upon the digestive tract.

8) Migraine Relief
Research has shown that ginger may provide migraine relief due to its ability to stop prostaglandins from causing pain and inflammation in blood vessels.

9) Menstrual Cramp Relief
In Chinese medicine, ginger tea with brown sugar is used in the treatment of menstrual cramps.

10) Prevention of Diabetic Nephropathy
A study done on diabetic rats found that those rats given ginger had a reduced incidence of diabetic nephropathy (kidney damage).

If you want to get all the amazing health benefits of ginger, we recommend New Chapter Gingerforce. It is an organic, full-spectrum ginger extract that contains compounds not found in other ginger supplements....


ShareThis Copy and Paste

No comments:

Post a Comment