Wanahisa wa Benki ya CRDB waidhinisha Malipo ya Gawio la Shilingi Bilioni
130.6 kwa Mwaka wa Fedha wa 2023
-
Arusha 18 Mei 2024 - Wanahisa wa Benki ya CRDB wameidhinisha kwa kauli moja
mapendekezo ya Bodi ya Wakurugenzi kuhusu malipo ya gawio la Shilingi 50
kwa ...
1 hour ago
I like them, they look humble and they are still humble! Mbowe bado kwenye magwanda to this day, Mnyika bado anavaa simple to this day. Hawa jamaa bado wanaishi maeneo yale yale to this day. Hasa Mnyika hata gari anayo tumia sio ya kifahari ukilinganbisha na baadhi ya wabunge. Hao ndiyo viongozi. Sio ukipata madaraka mara ghafla umebadilika. Congratulations comrades for keeping status quo for the people; no matter what!
ReplyDelete