“Kumekuwa na fight kubwa sana kati ya mimi na director wangu pale ninapokuwa na scene za ofisini nakuwa mbishi sana swala kuvaa hereni sasa nimepata ushauri kutoka kwa mashabiki wangu nimeona nikamshauri director wangu kuepuka kero ambazo hawazipendi mashabiki wangu. Nitakuwa mjinga nisipo wasikiliza mashabiki wangu,” PHD aliiambia Enewz ya EATV.
CCM ARUSHA WAUNGA MKONO AZIMIO, RAIS SAMIA NA RAIS MWINYI WAGOMBEA PEKEE
2025.
-
Na Vero Ignatus,Arusha
MAELFU ya Wananchi wa Mkoa wa Arusha leo Jumamosi Februari 1, 2025
wamejitokeza kwa wingi kwenye tukio la kuunga Mkono azimio la Mk...
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment