“Kumekuwa na fight kubwa sana kati ya mimi na director wangu pale ninapokuwa na scene za ofisini nakuwa mbishi sana swala kuvaa hereni sasa nimepata ushauri kutoka kwa mashabiki wangu nimeona nikamshauri director wangu kuepuka kero ambazo hawazipendi mashabiki wangu. Nitakuwa mjinga nisipo wasikiliza mashabiki wangu,” PHD aliiambia Enewz ya EATV.
Usimamizi Wa Utumishi Wa Umma Kuimarishwa Tanzania Na Kenya
-
*Dar es Salaam- Mei 5, 2026: Mkurugenzi Mkuu wa Shule ya Serikali Kenya
(KSG), Prof. Nura Mohamed na ujumbe wake wametembelea Chuo cha Utumishi
wa Umma T...
6 hours ago


No comments:
Post a Comment