Kamishna
Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro akinyanyua juu
Kikombe cha Zawadi ya Mshindi wa kwanza wa jumla katika Maonesho ya
Wakulima-Nane Nane baada ya kukabidhiwa na Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Iddi katika Kilele
cha sherehe za Maonesho ya Nane Nane Kitaifa, yaliyofanyika Uwanja wa
Nzuguni, Dodoma.(Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
CMA , TIC Yatekeleza Maono ya Rais Samia ya Kuboresha Mazingia ya Uwekezaji
-
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Usekelege Mpulla
(kushoto) na Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Gilead
Teri, wakipe...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment