Kamishna
Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro akinyanyua juu
Kikombe cha Zawadi ya Mshindi wa kwanza wa jumla katika Maonesho ya
Wakulima-Nane Nane baada ya kukabidhiwa na Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Iddi katika Kilele
cha sherehe za Maonesho ya Nane Nane Kitaifa, yaliyofanyika Uwanja wa
Nzuguni, Dodoma.(Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
KAMATI YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA UJENZI SHULE YA GHOROFA YA KATA YENYE
LIFT ILALA
-
NA MWANDISHI WETU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa (TAMISEMI) imempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment