Kamishna
Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro akinyanyua juu
Kikombe cha Zawadi ya Mshindi wa kwanza wa jumla katika Maonesho ya
Wakulima-Nane Nane baada ya kukabidhiwa na Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Iddi katika Kilele
cha sherehe za Maonesho ya Nane Nane Kitaifa, yaliyofanyika Uwanja wa
Nzuguni, Dodoma.(Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
Exim Bank yazidi kuwekeza katika maendeleo ya jamii Zanzibar
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Zanzibar. Benki ya Exim Tanzania imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya
kuchangia maendeleo ya jamii kupitia mpango wake wa Uwajibi...
1 day ago

No comments:
Post a Comment