Kamishna
Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro akinyanyua juu
Kikombe cha Zawadi ya Mshindi wa kwanza wa jumla katika Maonesho ya
Wakulima-Nane Nane baada ya kukabidhiwa na Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Iddi katika Kilele
cha sherehe za Maonesho ya Nane Nane Kitaifa, yaliyofanyika Uwanja wa
Nzuguni, Dodoma.(Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
RAIS SAMIA AZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU TAFICO, ATOA
MWELEKEO MPYA WA UCHUMI WA BULUU
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema
uzinduzi wa meli ya kwanza ya uvuvi wa bahari kuu ya Sh...
57 minutes ago

No comments:
Post a Comment