AY, Mwana FA, Snare,Buff G na Pauline Zongo wote leo wameungana kumpa
support King Crazy GK aliyekuwa akitambulisha ngoma yake mpya na ujio
wake baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu. Ngoma hiyo imetambulishwa
kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM.
ECT wakiwa na watangazaji wa XXL, Clouds FM
GK akiongea
Michezo : Lina PG Tour yafufua gofu Moshi
-
Na Mwandishi wetu, Moshi
KUWEPO kwa mashindano ya gofu ya Lina PG Tour katika viwanja vya gofu vya
klabu ya Moshi Gymkhana, kumesaidia kufufua mchezo ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment