Kufuatia tukio la wizi lililotokea leo katika benki ya Habib African iliyopo
Kariakoo jijini Dar es Salaam na kuibiwa zaidi ya shilingi milioni 900
za Tanzania, Jeshi la Polisi limetangaza dau la shilingi milioni moja
kwa mtu yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwa majambazi yaliyofanya
hicho kitendo. Majambazi hayo yaliyokuwa yamevaa sare za Jeshi la Polisi yalivamia benki hiyo na kupora Dola za Kimarekani 181,885 sawa na shilingi milioni 293.9
za Tanzania. Pia yalipora jumla ya shilingi milioni 700 za Tanzania na
kufanya jumla ya fedha zilizoibiwa kuwa shilingi milioni 993.9.
KOKA ACHAGIZA ML.5 KUSAIDIA MATUNDU YA VYOO SHULE YA SAINI VISIGA
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Mhe. Silvestry Koka katika kuunga mkono
juhudi za Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment