Baadhi ya
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongo Fleva, ambao wapo safarini
kuelekea mkoani Kigoma kwa ajili ya kushambulia jukwaa la Tamasha la
Fiesta 2013, linalorajia kufanyika Agosti 17, kwenye Uwanja wa Lake
Tanganyika mkoani humo, wakiwa kwenye Makaburi ya Kihonda katika kaburi
la Msanii mwenzao, Marehemu Albert Mangwea, leo asubuhi, nje kidogo ya
mji wa Morogoro, walipofika kuzuru kaburi hilo na kumuombea dua. Mungu
ailaze roho ya marehemu Mangwea, mahali pema peponi-Amen
Nomina’s “GOD’S GIFT TO THE WORLD”: Botswana’s Rising Star Shines on the
Global Stage
-
Nomina continues to affirm her place as one of Botswana’s most powerful and
inspiring female artists with her recent project, “GOD’S GIFT TO THE
WORLD.” Th...
51 minutes ago



No comments:
Post a Comment