Baadhi ya
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongo Fleva, ambao wapo safarini
kuelekea mkoani Kigoma kwa ajili ya kushambulia jukwaa la Tamasha la
Fiesta 2013, linalorajia kufanyika Agosti 17, kwenye Uwanja wa Lake
Tanganyika mkoani humo, wakiwa kwenye Makaburi ya Kihonda katika kaburi
la Msanii mwenzao, Marehemu Albert Mangwea, leo asubuhi, nje kidogo ya
mji wa Morogoro, walipofika kuzuru kaburi hilo na kumuombea dua. Mungu
ailaze roho ya marehemu Mangwea, mahali pema peponi-Amen
DKT MWIGULU: WANAOPINGA MAAMUZI YA SERIKALI WANALINDA MASLAHI BINAFSI,
WANANCHI WAMUUNGE MKONO RAIS SAMIA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa ni jambo la kawaida kwa
baadhi ya watu kupinga hatua za Serikali, ha...
3 hours ago



No comments:
Post a Comment