ANGALIA PICHA:JKT WALIPOKUWA WAKIMALIZA MAFUNZO KIKOSI CHA 842 JKT MLALE
Mgeni
rasmi, Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Senyi Ngaga amewaasa vijana
wanaomaliza mafunzo ya miezi mitatu katika Oparesheni Malumu katika
kikosi cha 842 JK Mlale, kuachana na tabia za kuiga zenye kuharibu
maadili.
Pia amewataka
vijana kuwa chanzo cha kutoa elimu kwa wenzao katika kuepukana na
migomo, upokeaji rushwa, na kuwafundisha wenzao maadili mema.
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment