Msanii H.BABA apata mtoto wa kike na amempa jina la #Tanzanite mtoto huyu amezaliwa katika hosp ya MariaStope iliyopo maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam.Picha na Dj choka
RC CHALAMILA AFANYA KIKAO KAZI NA WENYEVITI, WATENDAJI WA KATA NA MITAA DSM
-
-Atoa maagizo lukuki ya kuboresha Mkoa huo kuelekea AFCON 2027.
-Ataka muonekano mzuri wa Jiji kwa kufanya usafi wa mazingira na kuondoa
kabisa gereji ...
21 hours ago

No comments:
Post a Comment