Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (aliyesimama katikati mstari wa
mbele), katika picha ya pamoja na Mwenyekiti Tume ya Utumishi wa Umma
aliyemaliza muda wake Bwana, Jovin Kitambi (Kushoto) na Katibu wa Tume
ya Utumishi wa Umma, Bibi Claudia Mpangala (Kulia), pamoja
na Makamishna na baadhi ya Watendaji wa Tume ya Utumishi wa Umma.
Mwenyekiti na Makamishna hao walikwenda Ikulu kumuaga baada ya kumaliza
muda wao wa Uongozi katika Tume ya Utumishi wa Umma, kwa kipindi cha
miaka Sita.
KAMATI YA BUNGE TAMISEMI YAKOSHWA UJENZI SHULE YA GHOROFA YA KATA YENYE
LIFT ILALA
-
NA MWANDISHI WETU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa (TAMISEMI) imempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment