Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (aliyesimama katikati mstari wa
mbele), katika picha ya pamoja na Mwenyekiti Tume ya Utumishi wa Umma
aliyemaliza muda wake Bwana, Jovin Kitambi (Kushoto) na Katibu wa Tume
ya Utumishi wa Umma, Bibi Claudia Mpangala (Kulia), pamoja
na Makamishna na baadhi ya Watendaji wa Tume ya Utumishi wa Umma.
Mwenyekiti na Makamishna hao walikwenda Ikulu kumuaga baada ya kumaliza
muda wao wa Uongozi katika Tume ya Utumishi wa Umma, kwa kipindi cha
miaka Sita.
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment