Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Presidential
Bureau Oamar Issa (katikati) na Mkuu wa Chuo cha Uongozi, Profesa
Joseph Semboja katika mkutano alioutisha wa Wqakuu wa Mikoa na Makatibu
Tawala wa Mikoa wa kujadili utekelezaji wa mpango wa matokeo makubwa
sasa, kwenye hoteli ya Dodoma Septemba 7, 2013. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
12 hours ago


No comments:
Post a Comment