Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Presidential
Bureau Oamar Issa (katikati) na Mkuu wa Chuo cha Uongozi, Profesa
Joseph Semboja katika mkutano alioutisha wa Wqakuu wa Mikoa na Makatibu
Tawala wa Mikoa wa kujadili utekelezaji wa mpango wa matokeo makubwa
sasa, kwenye hoteli ya Dodoma Septemba 7, 2013. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
WAZIRI MKUU ATOA SIKU TANO KNCU ILIPE DENI LA SH. MILIONI 400
-
*Ni za wakulima wa kahawa AMCOS ya Mwika Kinyamvuo
*Akagua ujenzi wa hospitali ya Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amemua...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment