Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Presidential
Bureau Oamar Issa (katikati) na Mkuu wa Chuo cha Uongozi, Profesa
Joseph Semboja katika mkutano alioutisha wa Wqakuu wa Mikoa na Makatibu
Tawala wa Mikoa wa kujadili utekelezaji wa mpango wa matokeo makubwa
sasa, kwenye hoteli ya Dodoma Septemba 7, 2013. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Magazetini Leo Januari 17, 2025; Mauaji ya Kutisha
-
Copyright 2007-2021 @KAJUNASON BLOG
4 hours ago


No comments:
Post a Comment