Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, September 7, 2013

KIKAO CHA KAZI CHA WAZIRI MKUU NA WAKUU WA MIKOA


IMG_0431 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Presidential Bureau Oamar Issa (katikati) na Mkuu wa Chuo cha Uongozi, Profesa Joseph Semboja katika mkutano alioutisha wa Wqakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa  wa kujadili utekelezaji  wa mpango wa matokeo makubwa sasa, kwenye hoteli ya Dodoma Septemba 7, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
IMG_0431

No comments:

Post a Comment