Polisi wakikagua mahali alipokuwa amejificha mtuhumiwa wa bangi.
Mfuko wa bangi aliokamatwa nao mtuhumiwa.
Mtuhumiwa akipelekwa kutuo cha polisi.
Kijana ambaye hakutambulika jina lake mara moja amenaswa na polisi akiwa na mfuko wa bangi. Sakata
hilo limetokea maeneo ya Buguruni Sokoni jijini Dar es Salaam mara
baada ya polisi kumshuku jamaa huyo ambaye alionekana kujificha chini ya
matenga ya nyanya mara baada ya kuwaona polisi hao.
Matumizi mita za malipo kabla Yashika kasi Tanga
-
*Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Tanga
(TangaUWASA), Mhandisi Geofrey Hilly,akitoa maelezo ya Mradi wa maji wa
Hatifungani ya...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment