Hili ni jengo lililovamiwa
Emergency medical staff treated some of the wounded near the building's entrance
Security forces have surrounded the shopping centre
Dozens of shoppers were given assistance in evacuating the area
Children and families were taken to safety after the shootings began
Walioshuhudia tukio
hilo, wanasema kuwa maguruneti piya yalitumika.
Polisi waliojihami kwa
silaha wamezingira jengo la maduka liitwalo Westgate, katika mtaa wa Westlands,
na kuna taarifa ya watu waliojeruhiwa wakitolewa hapo kwa machera.
Kulikuwa na watu wengi
wamenasa ndani ya jingo hilo lakini
kwasasa wengi wameokolea na wengine bado wanaendelea kuokolewa .Magari
yaliyoegeshwa nje ya maduka pia
yameharibiwa kwa siraha

No comments:
Post a Comment