Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, September 18, 2013

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI: MTU MMOJA APOTEZA MAISHA BAADA YA KUSHAMBULIWA NA SIMBA HUKO MKOANI LINDI

 

Hivi karibuni mdau wa website ya masainyotambofu. akiongea kwa njia ya simu ya kiganjani kutoka huko mkoani LINDI wilaya ya NACHINGWEA katika kijiji cha ''LIONJA'' Alitoa taarifa kuhusu Mtu huyu mwenye umri wa miaka (45) ameuwawa na simba wakati akienda shambani kwake alfajiri kwenda kuangalia korosho wakati akielekea shambani ndipo aliposhambuliwa na simba hao wawili kabla ya tukio hilo simba hao walikuwa wakishambulia mbwa katika kijiji hicho, Tukio hili lilijiri siku chache zilizopita, M/mungu ailaze roho ya marehem mahala pema peponi,

 Wanakijiji wakitaharuki baada ya kuuona mwili wa marehemu.
 PICHA NA MDAU WA WEBSITE YA WWW.MASAINYOTAMBOFU.COM

No comments:

Post a Comment