HUU NDO MWONEKANO WA MSANII NAKAAYA BAADA YA KUPATA MIMBA
Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva ambaye pia ni dada wa aliyekuwa Miss
Tanzania 2005,Nancy Sumari,Nakaaya Sumari amepost picha mbalimbali
mtandaoni akiwa na ujauzito ambao unaonyesha atajifungua muda wowote
kutokana na ukubwa wake... mcheki hapa..
Watu mbalimbali wamempongeza Nakaaya na kumtakia kila la heri na
ajifungue salama huku yeye mwenyewe akiandika Sasa huku ndio kuchoka...
SANGU: BODI YA WADHAMINI WCF KUTEKELEZA DIRA 2050
-
Na. OWM-KAM – Dodoma
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka
mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maende...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment