HUU NDO MWONEKANO WA MSANII NAKAAYA BAADA YA KUPATA MIMBA
Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva ambaye pia ni dada wa aliyekuwa Miss
Tanzania 2005,Nancy Sumari,Nakaaya Sumari amepost picha mbalimbali
mtandaoni akiwa na ujauzito ambao unaonyesha atajifungua muda wowote
kutokana na ukubwa wake... mcheki hapa..
Watu mbalimbali wamempongeza Nakaaya na kumtakia kila la heri na
ajifungue salama huku yeye mwenyewe akiandika Sasa huku ndio kuchoka...
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment