Mtu
Ambaye jina lake halikufahamika mara moja ukining'inia juu ya mti mara
Amekutwa amejinyonga usiku wa kuamkia leo mjini Morogoro.Chanzo cha mtu
huyu kujinyonga hakijafahamika.Kwa mujibu wa askari
aliyekuwepo eneo la tukio alidai kwamba askari wa doria waliokatiza
kwenye eneo hilo majira ya saa 10 usiku walishuhudia mwili wa mtu huyo
ukining'inia juu ya mtu .
SERIKALI YASISITIZA UWAZI KATIKA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA
-
*Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati
akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara
wa...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment