Mtu
Ambaye jina lake halikufahamika mara moja ukining'inia juu ya mti mara
Amekutwa amejinyonga usiku wa kuamkia leo mjini Morogoro.Chanzo cha mtu
huyu kujinyonga hakijafahamika.Kwa mujibu wa askari
aliyekuwepo eneo la tukio alidai kwamba askari wa doria waliokatiza
kwenye eneo hilo majira ya saa 10 usiku walishuhudia mwili wa mtu huyo
ukining'inia juu ya mtu .
HALI YA USALAMA JIONI HII NOVEMBA 10, 2025
-
JESHI la Polisi linapenda kujulisha kuwa, hadi jioni hii ya tarehe
10.12.2025 hali ya nchi kiusalama ni shwari na shughuli za kiuchumi na
kijamii zimee...
32 minutes ago

No comments:
Post a Comment