Mtu
Ambaye jina lake halikufahamika mara moja ukining'inia juu ya mti mara
Amekutwa amejinyonga usiku wa kuamkia leo mjini Morogoro.Chanzo cha mtu
huyu kujinyonga hakijafahamika.Kwa mujibu wa askari
aliyekuwepo eneo la tukio alidai kwamba askari wa doria waliokatiza
kwenye eneo hilo majira ya saa 10 usiku walishuhudia mwili wa mtu huyo
ukining'inia juu ya mtu .
IGP Wambura afungua mafunzo ya kuimarisha maadili, weledi na uwajibikaji
Jeshi la Polisi
-
*Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Camillus Wambura, amefungua rasmi
mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kiutendaji Sekretarieti ya Maadili ya Makao
Makuu ya...
29 minutes ago

No comments:
Post a Comment