Mtu
Ambaye jina lake halikufahamika mara moja ukining'inia juu ya mti mara
Amekutwa amejinyonga usiku wa kuamkia leo mjini Morogoro.Chanzo cha mtu
huyu kujinyonga hakijafahamika.Kwa mujibu wa askari
aliyekuwepo eneo la tukio alidai kwamba askari wa doria waliokatiza
kwenye eneo hilo majira ya saa 10 usiku walishuhudia mwili wa mtu huyo
ukining'inia juu ya mtu .
KIHONGOSI: KUPANDA KWA BEI YA MAFUTA SI SIASA, NI CHANGAMOTO YA
DUNIA,ACHENI KUPOTOSHA UMMA
-
Na Janeth Raphael- MichuziTv -Dodoma
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi,
Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment