Mtu
Ambaye jina lake halikufahamika mara moja ukining'inia juu ya mti mara
Amekutwa amejinyonga usiku wa kuamkia leo mjini Morogoro.Chanzo cha mtu
huyu kujinyonga hakijafahamika.Kwa mujibu wa askari
aliyekuwepo eneo la tukio alidai kwamba askari wa doria waliokatiza
kwenye eneo hilo majira ya saa 10 usiku walishuhudia mwili wa mtu huyo
ukining'inia juu ya mtu .
Walimu 1500 wa Mkoa wa Singida wafikiwa na Kliniki ya Samia
-
Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendegu akizungumza na viongozi wa Chama cha
Walimu Tanzania (CWT) mara baada ya kufungua Kliniki ya Samia ya kutatua
chang...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment