Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, October 20, 2013

Rais Kikwete asimikwa uchifu wa kabila la Wabena wa Njombe


8607729_orig_9e4fa.jpg
Rais Jakaya Kikwete akipokea Mkuki wakati akisimikwa Uchifu wa Kabila la Wabena na mmoja wa wawakilishi wa Wazee wa Kabila hilo,kwenye wa Hafla ya Uzinduzi wa Mkoa wa Mpya wa Njombe.
n2_35c54.jpg
Wazee wa Kabila la Wabena wakimsimika Uchifu Rais Jakaya Kikwete.
n5_dd1ed.jpg
Chifu Mpya wa Kabila la Wabena, Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia wakazi wa Mkoa Mpya wa Njombe.
n6_90b96.jpg
Chifu Mpya wa Kabila la Wabena,Rais Jakaya Kikwete akiteremka Jukwaani baada ya kusimikwa Uchifu wa Kabila hilo na kuwahutubia wananchi wa Mkoa wa Njombe.(P.T)
n9_501e1.jpg
Rais Jakaya Kikwete akipongezwa na Mkewe Mama Salma Kikwete baada ya kusimikwa Uchifu wa Kabila la Wabena,wakati wa Hafla ya Uzinduzi wa Mkoa wa Mpya wa Njombe.
n8_66769.jpg
Pongezi zikiendelea.
n7_5d08e.jpg
Machifu wa Kabila la Wabena wakiwa kwenye picha ya Pamoja.

No comments:

Post a Comment