Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, October 20, 2013

TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA MAREHEMU JULIUS NYAISANGAH 'UNCLE J'


Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Aziz Abood ambaye ndiye mmiliki wa Kituo cha Abood Media alipokuwa akifanya kazi marehemu Nyaisangah akimpa mkono wa pole mke wa marehemu, Leah Nyaisangah nyumbani kwake Kihonda Mtaa wa Viwandani mkoani Morogoro.
Mke wa marehemu, Leah Nyaisangah akiwa na simanzi baada ya kuondokewa na mumewe.
Baadhi ya waombolezaji wakiwa msibani kwa marehemu Julius Nyaisangah eneo la Kihonda Mtaa wa Viwandani mkoani Morogoro.
            (PICHA ZOTE NA DUSTAN SHEKIDELE, GPL / MOROGORO)

No comments:

Post a Comment