Mmoja wa wafanyabiashara wakubwa nchini na Milionea, Ali Mfuruki alipata nafasi ya kuongea katika kipindi cha Makutano na Fina Mango na kuzungumzia hofu waliyonayo Watanzania dhidi ya nchi wanachama wajumuiya ya Afrika Mashariki. Mfuruki ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali kwenye nchi hizo alikosoa uoga wa Watanzania na kusema Tanzania inatakiwa kufungua milango kwa wawekezaji kwani fedha zinazopatikana zinaingia katika mzunguko wa uchumi na kusisitiza kuwekeza katika kuwanoa wataalam wa ndani badala ya kuogopa kupoteza ajira kwa wageni. Bofya kusikiliza zaidi http://www.youtube.com/watch?v=d6oPn1uG5eI
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KAMPASI YA LINDI YA UDSM
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa
Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika eneo la Ngongo
mkoani Lindi na...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment