Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, October 10, 2013

Wenzetu Wanapoona Fursa za Kukua Watanzania Tunaona Matatizo -Ali Mfuruki

 
Mmoja wa wafanyabiashara wakubwa nchini na Milionea, Ali Mfuruki alipata nafasi ya kuongea katika kipindi cha Makutano na Fina Mango na kuzungumzia hofu waliyonayo Watanzania dhidi ya nchi wanachama wajumuiya ya Afrika Mashariki. Mfuruki ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali kwenye nchi hizo alikosoa uoga wa Watanzania na kusema Tanzania inatakiwa kufungua milango kwa wawekezaji kwani fedha zinazopatikana zinaingia katika mzunguko wa uchumi na kusisitiza kuwekeza katika kuwanoa wataalam wa ndani badala ya kuogopa kupoteza ajira kwa wageni. Bofya kusikiliza zaidi http://www.youtube.com/watch?v=d6oPn1uG5eI

No comments:

Post a Comment