Mmoja wa wafanyabiashara wakubwa nchini na Milionea, Ali Mfuruki alipata nafasi ya kuongea katika kipindi cha Makutano na Fina Mango na kuzungumzia hofu waliyonayo Watanzania dhidi ya nchi wanachama wajumuiya ya Afrika Mashariki. Mfuruki ambaye amewekeza katika biashara mbalimbali kwenye nchi hizo alikosoa uoga wa Watanzania na kusema Tanzania inatakiwa kufungua milango kwa wawekezaji kwani fedha zinazopatikana zinaingia katika mzunguko wa uchumi na kusisitiza kuwekeza katika kuwanoa wataalam wa ndani badala ya kuogopa kupoteza ajira kwa wageni. Bofya kusikiliza zaidi http://www.youtube.com/watch?v=d6oPn1uG5eI
AGENDA YA KUTOKOMEZA MALARIA IWE YA KUDUMU KATIKA VIKAO VYA MAAMUZI
-
Na WAF, TABORA
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ameziasa Kamati za Ulinzi na
Usalama nchini kuona umuhimu wakuifanya ajenda yakutokomeza Malaria iwe...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment