Huwa nawakumbuka
naamini kabisa kitambo si kirefu watakua huru.. wakati nafanya album
yangu ya kwanza (mkuki moyoni) zaidi ya miaka kumi iliyopita kuna ile
track MAYOWE REMIX imepigwa live band ingawa MAJANI alipiga kick, lakini
BASE & SOLO GUITAR alicharaza MZEE NGUZA (babu seya) mwenyewe,
ukisikiliza vyema ile kazi utasikia kila chombo kwa wakati wake hiyo
imechangiwa na ustadi wa Mzee Nguza zaidi, mtoto wake ambae ni PAPII
KOCHA alifanya chorus ilikua vibe sana nakumbuka siku ile pale BONGO
RECORDS. wakati huu ambao nakaribia kutimiza miako kumi ya KING OF
RHYMES i wish mungekuepo tufanye kitu, MFUNGWA, MFUNGWA NI NANI? IMAM,
RAISI. ASKOFU, MWALIMU, HAKIMU, JAJI, MASIKIN, TAJIRI, MCHUNGAJI anaweza
kuwa mfungwa... .. MUNGU ni muweza wa yote na hashindwi na chochote
naamini kabisa tutakua pamoja uraiani .. nawapenda, nawaombea na maelfu
ya Watanzania wako pamoja nanyi
NMB Yatoa Sh Milioni 200 Njombe, Mtaka Aitaka Sekta ya Fedha Kuwekeza
Kwenye Huduma za Dialysis
-
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, ameziomba taasisi za kifedha
kusaidia upatikanaji wa mashine za kusafisha damu — dialysis — katika
Hospitali ya Ru...
1 hour ago



No comments:
Post a Comment