Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, November 16, 2013

MENEJA WA MeTL IRINGA AKWAPUA MAMILIONI NA KUKUMBIA ZAWADI NONO KWA ATAKAYEFANIKISHA KUKAMATWA KWAKE.

Photo0001
-MeTL Group watangaza zawadi nono kwa atakayefanikishwa kukamatwa kwake

KAMPUNI YA MOHAMMED ENTERPRISES TANZANIA LIMITED (MeTL) Makao Makuu inatangaza kwa umma wa watanzania kwamba Meneja wa MeTL tawi la Iringa Mr Aamir Iqbal anatafutwa na mwajiri wake kwa kosa la wizi wa mamilioni.

Mr Iqbal (pichani juu) aliyekuwa Meneja wa tawi la MeTL Iringa anatuhumiwa kwa kosa la kumwibia mwajiri wake mamilioni ya pesa yeyote atakayewezesha kukamatwa au kutoa taarifa zake katika kituo chochote cha Polisi zawadi nono itatolewa.

Tukio hilo lililotokea jana mchana Iringa limeripotiwa Kituo Kikuu cha Polisi Iringa na RB ya Polisi ni ref no. IR/RB/7229/2013.

Kampuni ya MeTL Group itatoa zawadi nono kwa yeyote atayefanikisha kukamatwa kwake.
Au piga simu namba: 0755 030 014 , 2118930/1, 0713 324 332, 0715 030 024
PASSPORT AAMIR IQBAL


Hati ya kusafiria ya Aamir Iqbal.
RPB AAMIR IQBAL


Kibali cha kazi cha Meneja huyo.

No comments:

Post a Comment