MUDA
|
TUKIO
|
LEO, NOVEMBA 15, 2013 – UWANJA WA NDEGE WA MWALIMU JK
NYERERE |
|
Saa 12:50 jioni
|
Kuwasili kwa
mwili wa Marehemu – Uwanja wa Ndege wa Mwalimu JKN |
KESHO, NOVEMBA 16, 2013 – VIWANJA VYA KARIMJEE
|
|
Saa 2:00 – 3:30
asubuhi |
Kuwasili kwa
Wageni, Wananchi na Waombolezaji |
Saa 3:30 asubuhi
|
Kuwasili Mwili
wa Marehemu |
Saa 4:00 – 5:45 asubuhi
|
Ibada ya Misa
Takatifu, Viwanja vya Karimjee |
Saa 5:45 – 6:55
mchana |
Salaam za
Rambirambi na Neno la Shukurani |
Saa 6:55 – 8:40
Mchana |
Kuaga Mwili wa
Marehemu |
Saa 9:00 Alasiri
|
Msafara kupeleka
mwili wa marehemu Kibamba Msakuzi |
KESHO KUTWA, NOVEMBA 17, 2013 – NYUMBANI KWA MAREHEMU
- KIBAMBA, MSAKUZI |
|
Saa 2:30 – 4:30
asubuhi |
Ibada ya Misa
nyumbani kwa marehemu |
Saa 5:00 asubuhi
|
Kuanza safari ya
kwenda Chanjale, Kisangara Juu, Mwanga, Kilimanjaro |
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
10 hours ago


No comments:
Post a Comment