Kikao cha kwanza cha Kamati mpya ya Utendaji ya TFF kimempa likizo Katibu
Mkuu wa kuajiriwa, Angetile Osiah mpaka mkataba wake utakapomalizika
Desemba na watamlipa stahili zake. Kikao hicho chini ya Rais Jamal Malinzi,
kimeamua kwamba Ofisa Habari Boniface Wambura atakaimu nafasi ya Angetile
kuanzia leo
Waziri Kapinga: Mbolea Hai iwe na Ubora kwa Maslahi ya Wakulima
-
*Na Mwandishi Wetu, Kibaha*
*WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameitaka Tanzania Biotech
Production Ltd (TBPL) kuhakikisha inazingatia ubor...
10 hours ago


No comments:
Post a Comment