Kikao cha kwanza cha Kamati mpya ya Utendaji ya TFF kimempa likizo Katibu
Mkuu wa kuajiriwa, Angetile Osiah mpaka mkataba wake utakapomalizika
Desemba na watamlipa stahili zake. Kikao hicho chini ya Rais Jamal Malinzi,
kimeamua kwamba Ofisa Habari Boniface Wambura atakaimu nafasi ya Angetile
kuanzia leo
DC SIKONGE AHAMASISHA UHIFADHI WA MIOMBO, ATAJA FURSA ZA UTALII MTO KOGA
-
Farida Mangube Sikonge, Tabora
Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Thomas Mnyinga amewataka wakazi wa wilaya hiyo
kulinda na kuhifadhi misitu ya miombo, akieleza kuw...
6 hours ago


No comments:
Post a Comment