Kikao cha kwanza cha Kamati mpya ya Utendaji ya TFF kimempa likizo Katibu
Mkuu wa kuajiriwa, Angetile Osiah mpaka mkataba wake utakapomalizika
Desemba na watamlipa stahili zake. Kikao hicho chini ya Rais Jamal Malinzi,
kimeamua kwamba Ofisa Habari Boniface Wambura atakaimu nafasi ya Angetile
kuanzia leo
Mtaalamu sayansi, usalama wa mtandao atinga Tume
-
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na
baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Machi 2, 2026 imekutana na
Mtaa...
58 minutes ago


No comments:
Post a Comment