Kikao cha kwanza cha Kamati mpya ya Utendaji ya TFF kimempa likizo Katibu
Mkuu wa kuajiriwa, Angetile Osiah mpaka mkataba wake utakapomalizika
Desemba na watamlipa stahili zake. Kikao hicho chini ya Rais Jamal Malinzi,
kimeamua kwamba Ofisa Habari Boniface Wambura atakaimu nafasi ya Angetile
kuanzia leo
Matumizi mita za malipo kabla Yashika kasi Tanga
-
*Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Tanga
(TangaUWASA), Mhandisi Geofrey Hilly,akitoa maelezo ya Mradi wa maji wa
Hatifungani ya...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment