Kikao cha kwanza cha Kamati mpya ya Utendaji ya TFF kimempa likizo Katibu
Mkuu wa kuajiriwa, Angetile Osiah mpaka mkataba wake utakapomalizika
Desemba na watamlipa stahili zake. Kikao hicho chini ya Rais Jamal Malinzi,
kimeamua kwamba Ofisa Habari Boniface Wambura atakaimu nafasi ya Angetile
kuanzia leo
BRELA KUWAKUTANISHA WADAU KUJADILI FURSA NA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI
-
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), wameandaa Mkutano wa Pili
wa BRELA na Wadau utakaofanyika Oktoba 25, 2024 katika ukumbi wa mikutano
wa M...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment