Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, November 20, 2013

TAZAMA PICHA NA VIDEO JINSI UWANJA WA KISASA UTAKAO TUMIKA KOMBE LA DUNIA 2022 QATAR ULIVYO




Ubunifu wa kwanza kutoka katika viwanja vitakavyotumika kombe la dunia 2022
picha ya mwonekano wa juu ya uwanja unavyoonekana unatajwa kuwa na kiyoyozi na una uwezo wa kukaliwa na watazamaji . 40,000- uwanja huo uliopewa jina la  Al-Wakrah utakamilika 2018.
taarifa ambo zinaufananisha uwanja huo na sehemu za siri za kike zimeonesha kuwakera wabunifu kwa sababu wao walikuwa wanamaanisha mwonekano wa jahazi kiutamaduni WaQatar hutumia kuvulia samaki


tazama video yake chini

No comments:

Post a Comment