Kamanda Suleiman Kova akiongea na wanahabari kuhusu wahalifu mbalimbali waliotiwa nguvuni na Jeshi la Polisi.
WATU 6
wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kuhusika na tukio la kumshambulia
Dkt. Sengondo Mvungi aliyevamiwa na majambazi nyumbani kwake Kibamba
Msakuzi juziAkizungumza
na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,
Selemani Kova amesema katika operesheni maalum iliyofanywa na jeshi la
polisi, wamefanikiwa kuwakamata watu sita ambao majina yako
yamehifadhiwa kwa sababu za usalama. Aidha Kamanda Kova aliongeeza kuwa
bado hawajapata uthibitisho kamili juu ya sakata hilo na uchunguzi
unaendelea kuwabaini wahusika halisi wa shambulio hilo.
MATUNDA YA UWEKEZAJI WA BANDARI YA TANGA YAANZA KULIPA MELI YA 12 ILIYOBEBA
SHEHENA YA MAGARI YATUA
-
Meneja wa Bandari ya Tanga Masoud Mrisha akizungumza na waandishi wa habari
ambao hawapo pichani baada ya kuipokea meli iliyotoka nchini China moja kwa
m...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment