Kamanda Suleiman Kova akiongea na wanahabari kuhusu wahalifu mbalimbali waliotiwa nguvuni na Jeshi la Polisi.
WATU 6
wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kuhusika na tukio la kumshambulia
Dkt. Sengondo Mvungi aliyevamiwa na majambazi nyumbani kwake Kibamba
Msakuzi juziAkizungumza
na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,
Selemani Kova amesema katika operesheni maalum iliyofanywa na jeshi la
polisi, wamefanikiwa kuwakamata watu sita ambao majina yako
yamehifadhiwa kwa sababu za usalama. Aidha Kamanda Kova aliongeeza kuwa
bado hawajapata uthibitisho kamili juu ya sakata hilo na uchunguzi
unaendelea kuwabaini wahusika halisi wa shambulio hilo.
Serikali Kuimarisha Utendaji wa Watumishi wa Umma Kupitia Mageuzi ya
Kidijitali -Ridhiwani Kikwete
-
SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kusogeza huduma karibu na wananchi na
kuongeza uwazi katika ajira za umma kupitia matumizi ya teknolojia ya
kidijitali, ...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment