Kamanda Suleiman Kova akiongea na wanahabari kuhusu wahalifu mbalimbali waliotiwa nguvuni na Jeshi la Polisi.
WATU 6
wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kuhusika na tukio la kumshambulia
Dkt. Sengondo Mvungi aliyevamiwa na majambazi nyumbani kwake Kibamba
Msakuzi juziAkizungumza
na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,
Selemani Kova amesema katika operesheni maalum iliyofanywa na jeshi la
polisi, wamefanikiwa kuwakamata watu sita ambao majina yako
yamehifadhiwa kwa sababu za usalama. Aidha Kamanda Kova aliongeeza kuwa
bado hawajapata uthibitisho kamili juu ya sakata hilo na uchunguzi
unaendelea kuwabaini wahusika halisi wa shambulio hilo.
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA JAPAN NCHINI
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Balozi wa Japan nchini
Tanzania Mhe. Yoichi Mikami na kujadiliana naye masuala ya uchumi, miradi
ya maendel...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment