Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, December 18, 2013

AJALI MAFINGA WATU WAKINGA MAFUTA


Wananchi wakikinga mafuta
Kametokea ajali ya leo Mafinga kati ya magari mawili. Ajali hiyo haikusababisha madhara makubwa. Gari moja lilipasuka tanki la mafuta na mafuta kuanza kutiririka hivyo kusababisha watu kujisevia mafuta. Hii hi hatari sana kuona watu hawajili kabisa maisha yao. Kundi kubwa la wananchi wakizongania mafuta bila kutafakari je moto ukilipuka?

No comments:

Post a Comment