Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, December 25, 2013

AJALI ZAENDELEA KUSUMBUA BARABARANI



 Ajali hii ilitokea jana 23.12.2013 maeneo ya Chalinze kwa uzembe wa dereva ambae alilivaa lori bovu kwa nyuma lililokuwa limepaki barabarani kuja uelekeo wa Dar ... majira ya alfajiri ambapo wakati tunapita majira ya saa moja tulikuikuta.chanzo HABARI NA MATUKIO

 Ona alivyolivaa lori kwa nyuma....
 Ajali hii ilitokea jana 23.112.2013 maeneo ya Hedalu ambapo gari aina ya Nisani Pickup lilipokosa uelekeo kutokana na upepo mkali eneo hilo. Gari hilo lilikuwa likielekea Moshi.... Licha ya eneo hilo kuandikiwa vibao kuwa kuna upepo mkali madereva uzembea.
 Gari likiwa limebobdeka baada ya kuanguka mara tatu.
 ona kipande cha nyuma kilivyobondeka.

Ndugu jamaa na marafiki wakikusanya kusanya mizigo iliyokuwa imebebwa.


TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI ZA KILA SIKU,(USIPITWEEEEEEEE)

No comments:

Post a Comment