Katika pita pita mtandaoni Swahilitz imekutana na picha hizi za JB a.k.a Bonge la bwana akiwa ameziweka katika akaunti yake ya Instagram na kuonyesha ni jinsi gani anajivunia
kuoa na kuwa na mke mzuri kama huyu. Tazama picha hapo chini uone ni
jinsi gani jamaa anajiamini na anampenda mke wake na haoni shida
kumuweka mtandaoni ili mashabiki zake wamfahamu shemeji na wifi yao.
DC Ilala Aagiza Polisi Kuwakamata Wauaji wa Salehe Iddi Salehe
-
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameliagiza Jeshi la Polisi Wilaya
ya Kipolisi Ilala, kupitia Kamanda wake ACP Yustino Mgonja, kuhakikisha
lina...
11 hours ago




No comments:
Post a Comment