Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, December 18, 2013

NEWS UPDATES:ABIRIA WOTE WA KWENYE KIVUKO WAMEOKOLEWA BADO MIZIGO NA MAGARI




Kivuko kikubbwa cha Mv Magogoni kimepoteza mwelekeo wake, kwa kawaida huwa kinatokea kivukoni na kuelekea kigamboni... lakini  leo kimepoteza mwelekeo nakuelekea njia ya Meli kubwa,
abiria wote wamekolewa ila bado magari na mizigo.
chanzo- EATV

No comments:

Post a Comment