Mkurugenzi
wa mashindano wa TFF Saidi kawemba amesema ‘tumekubaliana kabisa kwamba
kila mtu ataleta timu yake ya kwanza na kushindwa kufanya hivyo kuna
adhabu zake tumekubaliana, wakati huu tunaamini kila club inafanya
jitihada za kusajili na kuleta vifaa vyake vinavyoaminika kuwa vizuri,
tunasubiri hiyo December 21 tuone’
WIZARA YA ARDHI YAINGILIA KATI SAKATA LA ENEO LENYE MGOGORO GEITA
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeingilia kati mgogoro wa
matumizi ya ardhi unaomhusisha mwekezaji Rashid Kwanzibw...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment