skip to main | skip to sidebar
dj sek

Social Icons

Pages

  • Home
  • IT page
  • Advertisement
  • Sports news
  • comedy zone
  • Contanct and where we are
  • JICHO LA CAMERA YANGU

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, December 15, 2013

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA::MWILI WA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CCM "MWANZA"WAPOKELEWA MOCHWARI

  Mwili wa marehemu Mabina aliyeuawa na wanainchi baada ya kutokea kutoelewana kutokana na mgogoro wa kiwanja umepokelewa mochwari na kuhifadhiwa.

CHANZO CHA KIFO CHAKE


Chanzo cha kuuwawa ni kwamba mabina anadaiwa aliwanyang'anya ardhi wananchi hao na kesi iko mahakamani na leo mchana Mabina bila kibali cha mahakama alikuwa anapanda miti na kujenga msingi wa nyumba ndipo wanachi wakaenda kumhoji iweje anapanda miti na kuweka msingi kwenye viwanja hivyo ilhali kesi ipo mahakamani?
Mabina inadaiwa akaanza kutoa lugha chafu na kurusha risasi hewani.
Kwa mujibu wa Katibu wa CCM ndg Joyce Masunga (maarufu kama Maziwa Fresh) ni kweli kuwa tukio hili limetokea na tunaendelea kufuatilia kupata habari zaidi.

 

TUNAOMBABOFYAHAPA KULIKE PAGE YETU KWA HABARI MOTOMOTO ZAKIL SIKU PIA TUNAOMBA BOFYAHAYOMATANGAZO UNAYOYAONA PEMBENI UJIFUNZEVITU  VINGI(USIPITWEEEEEE)

 



Posted by dj sek at 7:23 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Please Share this Blog

Popular Posts

  • DOH YALE YALE::TAZAMA ADHA YA MVUA YA LEO JIJINI DAR
  • TAARIFA YA MSIBA:::KATIBU MWENEZI WA SIMBA AFARIKI DUNIA
    KLABU ya soka ya Simba imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Katibu Mwenezi wake wa zamani, Robert Charles Sechawawa ...
  • HII NDIO HISTORIA YA BILIONEA DAVIS MOSHA TOKA TANZANIA
      Davis Mosha, founder, Delina Enter...
  • TAZAMA PICHA MAELFU YA WATU WASHINDWA KUSAFIRI UINGEREZA KUTOKANA NA HALI MBAYA YA HEWA,JIONEE JINSI MVUA NA BARAFU ZILIVYOLETA UHARIBIFU
      Th...
  • Prince William na Kate waachia rasmi picha za mtoto wao George zitazame hapa
    A future king sleeps peacefully in the arms of his doting mother in a family snapshot... taken by his grandfather. Previous royal heirs,...
sek design. Powered by Blogger.

Followers

Social Icons

On Twitter

Tweets by @sekdavid

Total Pageviews

My Blog List

  • MICHUZI BLOG
    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Kujenga Taasisi ya Saratani - Na Mwandishi Wetu ,Zanzibar KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt. Mngereza Mzee Miraji, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepanga kuanza ...
    3 hours ago
  • Wazalendo 25 Blog
    Teknolojia : Serikali Yazihimiza Taasisi za Umma na Sekta Binafsi Kutumia Anwani za Makazi - SERIKALI imezidisha kasi ya kujenga uchumi wa kidijitali kwa kusisitiza matumizi mapana ya mfumo wa anwani za makazi, hatua inayolenga kurahisisha ut...
    21 hours ago
  • HABARI NA MATUKIO
    Magazetini Leo Februari 9, 2026: Janga Jipya la Pikipiki na Bajaji - NEWS PLANET Sunday, February 8, 2026 Magazeti ya leo Jumatatu Feb 09, 2026 Magazeti Copy...
    1 day ago
  • Rukwa Yetu
    WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC - Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili kuimarisha mbi...
    3 days ago
  • LUKAZA BLOG
    TANZANIA NA MAREKANI ZASONGA MBELE KUKAMILISHA MAKUBALIANO MAKUBWA YA UWEKEZAJI - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Andrew L...
    2 months ago
  • FAHARI YA KUSINI MWA TANZANIA
    DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AAPISHWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - Mhe. *Dkt. Samia Suluhu Hassan* ameapishwa rasmi kuwa *Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania* katika sherehe zilizofanyika leo, *Novemba 3, 2025*, kati...
    3 months ago
  • Bongo Blogs - Blog ya Taifa
    Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi ya V - *1. VOA Sauti ya America * www.voaswahili.com *2. Vijimambo* lukemusicfactory.blogspot.com
    11 months ago
  • EMMANUEL SHILATU
    Ufafanuzi wa TCRA kuhusu kuondoa chaneli za runinga zinazotazamwa bila kulipia (FTA) kutoka ving'amuzi vya Azam, Multichoice na Zuku - Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) imefafanua kuhusu kuondoa Channel za Televisheni za ndani zinazotazamwa bila kulipia (FTA) kutoka Ving’amuzi vya Azam, Multic...
    7 years ago
  • LEWIS MBONDE BLOG
    BLOGU YA LEWIS MBONDE BLOG YASITISHA KUTOA MAUDHUI MTANDAONI - Kutokana na matakwa ya kisheria ya maudhiu ya kutoa huduma za kimtandao bila kuwa na leseni iliyotolewa na mamlaka ya udhibiti wa huduma za mawasiliano t...
    7 years ago
  • MATUKIO NA VIJANA
    - *MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu kwenye ukum...
    7 years ago
  • MC DR.CHENI
    Shilole Achora Tatoo ya Mwisho Yenye Jina la Mumewe - Mwanamuiki wa kike ambae pia ni mjasiriamali, Shiloleh ameonyesha tatoo aliyochora kwenye mwili wake yenye jina la mume wake mpendwa uchebe yenye jina ‘AS...
    7 years ago
  • SEIF KABELELE
    “AFRICAN BEAUTY” IS JUST ANOTHER ONE FROM DIAMOND PLATNUMZ & OMARION WHICH MIGHT BE THE JAM OF THE CONTINENT - The Tanzania Recording Artist Diamond Platnumz released “African Beauty” off his just premiered album “A Boy From Tandale”. The album features Top Artist...
    7 years ago
  • Hisia za Mwananchi
    NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2017 EXAMINATION RESULTS - NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA *PSLE-2017 EXAMINATION RESULTS* ------------------------------ ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOM...
    8 years ago
  • DJ Mwanga
    VIDEO | B Chedde – Dope | Watch/Download -
    8 years ago
  • MAKUBWA HAYA
    Mashabiki hawajui, kukaa kimya kwenye muziki sio kupotea kwenye muziki – Ommy Dimpoz - Muimbaji Ommy Dimpoz amesema ukimya wake kwenye muziki sio kwamba alipotea bali alikuwa anafanya mambo mengine nje ya muziki. Ommy Dimpoz amesema watanz...
    9 years ago
  • Demasho
    KARIBU ruvumahabari.blogspot.com kwa habari na matukio zaidi - *KARIBU ruvumahabari.blogspot.com kwa habari na matukio zaidi*
    9 years ago
  • TheChoice
    MAHARATA - Yes *MAHARATA *crack it hard
    9 years ago
  • AFFILIATES FOR AFRICA
    -
  • Mwanasheria Wetu
    -
  • New and Used Cars and trucks for sale hapa hapa Tanzania
    -
  • Jamtz
    -

FOLLOW OUR BLOG

Follow this blog

Search previous news

Dj Sek Blog

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

Analytics

 
 
Copyright (c) 2011 dj sek Designed by TMCL