Vikosi
Maalum Vya Ulinzi na Usalama Wakiangalia kwa makini na kuondoa kitu
kilichodhaniwa kuwa ni bomu kwenye kituo cha mabasi Shekilango jijini
Dar es Salaam, kwenye makutano ya Barabara za Morogoro na Shekilango
Leo Mchana.Hata hivyo vyombo vya ulinzi na usalama vilifanikiwa kuondoa
kitu hicho bila madhara yoyote kwa wananchi.Picha na Jiachie Blog.
MBUNGE JIMBO LA SEGEREA KUWAUNGA MKONO WASICHANA WENYE TAALUMA MBALIMBALI
-
Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa Jimbo la Segerea, Dar es Salaam Bonah Kalua ameahidi kuwaunga
mkono wasichana wenye taaluma mbalimbali za masuala ya urembo n...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment