Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, January 6, 2014

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya ajitambulisha rasmi kwa waandishi wa habari wa mkoa huo,pia atoa taarifa ya matukio mbali mbali kwa mwaka 2013

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,SACP Ahmed Msangi akizungumza na waandishi wa habari wa Mkoa wa Mbeya (hawapo pichani) alipowaita kwa kuijitambulisha kwao na kutoa taarifa ya matukio mbali mbali yaliyotokea kwa kipindi cha Mwaka 2013.
 Waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali jijini Mbeya,wakiendelea kuchukua taarifa aliyokuwa akiitoa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,SACP Ahmed Msangi. 
 Waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali jijini Mbeya wakimsikiliza kwa makini Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,SACP Ahmed Msangi (hayupo pichani).
Mwanalibeneke Othman Michuzi (wa tatu kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Waandishi wa Habari toka vyombo mbali mbali jijini Mbeya mara baada ya Mkutano na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya.kutoka Kulia ni Ezekiel Kamanga (Bomba FM),Freddy Jackson (Mbeya FM),Freddy Njeje (Tone MultMedia Group),Joseph Mwaisango (Mbeya Yetu Blog),Dada Pendo Fundisha (New Habari) pamoja na Shomi Mtaki (Uhuru/Mzalendo).
 Credits: Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment