Pamoja na misukosuko yote ya ligi na vikombe tofauti bado club ya manchester united imeendelea kupata mashabiki wa kutosha toka kila kona ya dunia.mpaka kufikia jana Manchester united ilikuwa imefikisha mashabiki milioni 39 katika mtandao wa facebook.
Benki ya Stanbic Tanzania yatoa msaada hospitali ya Rufaa ya Mawenzi mkoani
Kilimanjaro.
-
*Ni sehemu ya mpango endelevu wa kusaidia jamii kwa kuchangia uboreshaji wa
sekta ya Afya.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu (katikati) akipok...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment