wamewarushia maboya abiria hao ambao inasadikiwa ni
zaidi ya kumi ambao wamewaacha eneo hilo chafu karibu na kisiwa cha
Nungwi eneo ambalo ni chafu sana kwa vipindi mbali mbali katika bahari
ya Hindi, tatizo la ajali hiyo inasadikiwa ni kutokana na upepo mkubwa
uliotokea maeneo hayo na si Boti hiyo kujaza abiria kwa mujibu wa mtoa
habari wetu.
Hapo
juu ni taarifa za uwezo wa abiria wa meli hiyo ambao inaweza kubeba,
taarifa zaidi tutawapa baadae tunaendelea kufuatilia zaidi
DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA MAMA WA ABOUBAKARY LIONGO .
-
Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi leo tarehe 01 Octoba, 2024
ameshiriki mazishi ya Mama wa Aboubakary Liongo ambaye yeye ni Afisa
Msaidizi I...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment