wamewarushia maboya abiria hao ambao inasadikiwa ni
zaidi ya kumi ambao wamewaacha eneo hilo chafu karibu na kisiwa cha
Nungwi eneo ambalo ni chafu sana kwa vipindi mbali mbali katika bahari
ya Hindi, tatizo la ajali hiyo inasadikiwa ni kutokana na upepo mkubwa
uliotokea maeneo hayo na si Boti hiyo kujaza abiria kwa mujibu wa mtoa
habari wetu.
Hapo
juu ni taarifa za uwezo wa abiria wa meli hiyo ambao inaweza kubeba,
taarifa zaidi tutawapa baadae tunaendelea kufuatilia zaidi
WAHITIMU TaSUBa WAHIMIZWA KUILINDA AMANI YA TANZANIA
-
Na MWANDISHI WETU, Bagamoyo
WAHITIMU wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), wamehimizwa
kuilinda amani nchini.
Akizungumza katika Mahafali ya...
10 hours ago


No comments:
Post a Comment