wamewarushia maboya abiria hao ambao inasadikiwa ni
zaidi ya kumi ambao wamewaacha eneo hilo chafu karibu na kisiwa cha
Nungwi eneo ambalo ni chafu sana kwa vipindi mbali mbali katika bahari
ya Hindi, tatizo la ajali hiyo inasadikiwa ni kutokana na upepo mkubwa
uliotokea maeneo hayo na si Boti hiyo kujaza abiria kwa mujibu wa mtoa
habari wetu.
Hapo
juu ni taarifa za uwezo wa abiria wa meli hiyo ambao inaweza kubeba,
taarifa zaidi tutawapa baadae tunaendelea kufuatilia zaidi
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
1 day ago


No comments:
Post a Comment