Familia
ya Mkuu wa Wilaya Mstaafu wa Muleba ,Iringa
na Njombe ,ndugu John Pantaleon Mbonde wa Ilala Sharif Shamba Dar es
Salaam anasikitika kutangaza kifo cha mtoto wake mpendwa Anna Mbonde.
Marehemu alifikwa na mauti tarehe 5/1/2014 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
alikokuwa amelazwa. Marehemu
alisumbuliwa
na ugonjwa wa seli mundu (yaani sickle
cell disease) pia alikuwa na matatizo ya figo kwa muda wa mwaka mmoja
uliopita. Mazishi yalifanyika juzi 7/1/2014 kwenye makaburi ya Kinondoni.Familia
inatoa shukrani za dhati kwa wote waliojitokeza katika shughuli nzima ya
mazishi.
WAZIRI KOMBO NA PROF. KABUDI WAITEMBELEA KAMBI YA TAIFA STARS MISRI NA
KUWAKABIDHI BENDERA YA TAIFA.
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi
Mahmoud Thabit Kombo pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo Mhe....
56 minutes ago


No comments:
Post a Comment