Tumefatilia taarifa za kifo cha msanii Zay B toka taarifa hizi zianze kusamba asubuhi ya Tarehe 5/1/2014.

Taarifa hizi inasemekana zimetangazwa
na kituo cha radio Hapa Tanzania kuwa msanii Zay B Amefariki na baada
ya muda mfupi message na simu za pole zikamiminika kwa familia ya Zay B
bila kujua kinacho endelea.
TUNAOMBA BOFYA HAPA NA ULIKE PAGE YETU KWA HABARI NYINGI ZA KILA SIKU,(USIPITWEEEEEEEE)


No comments:
Post a Comment