Chanzo ni dereva wa jeshi aliingia upande wa bus ndipo dereva wa basi akalikwepa na kwenda nne ya barabara dereva wa jeshi alibanwa miguu kama uonavyo wasamalia wema wanahangaika kumtoa dereva.CHANZ JF
WATUMISHI WAPYA TASAC WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania- TASAC Bw. Mohamed
Salum leo tarehe 16 Januari, 2026 amehitimisha rasmi mafunzo kwa watumisi
wapy...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment