Chanzo ni dereva wa jeshi aliingia upande wa bus ndipo dereva wa basi akalikwepa na kwenda nne ya barabara dereva wa jeshi alibanwa miguu kama uonavyo wasamalia wema wanahangaika kumtoa dereva.CHANZ JF
VIJANA WAKUMBUSHWA KULINDA TASWIRA YA NCHI KIMATAIFA
-
Serikali imewataka vijana wanaopata fursa za ajira nje ya nchi kuwa
mabalozi wa Taifa kwa kuzingatia nidhamu, uadilifu na tamaduni katika nchi
wanazokwenda...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment