Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, February 2, 2014

JACKSON KISWAGA ASIMIKWA RASMI KUWA MLEZI WA CHIPUKIZI WILAYA YA IRINGA VIJIJINI ,ASAS ATOA NENO AKABIDHI MTAJI WA MILIONI 3 KWA UVCCM

Kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa Salim Abri Asas wa piki  kulia akimuapisha  mlezi wa  chipukizi  wilaya ya Iringa Bw Jackson Kiswaga  ambae ameteuliwa kushika nafasi hiyo leo 
kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa Bw Asas kulia  akimvisha kofia ya ulezi wa chipukizi Bw Jackson Kiswaga  leo 
Bw Kiswaga  akikabidhiwa vitendea kazi na kamanda wa UVCCM mkoa Bw Salim Asas mara baada ya  kuapishwa kuwa  mlezi wa chipukizi  wilaya ya  Iringa vijijini leo 
Hapa Bw Kiswaga  akiondoka baada ya  kukabidhiwa rasmi ulezi wa chipukizi wilaya ya Iringa vijijini 
Mlezi wa chipukizi wilaya ya Iringa vijijini Jackson Kiswaga kulia akiwa na kamanda wa UVCCM wilaya  hiyo DC wa pangani Bi Hafsa Mtasiwa 
Mlezi wa Chipukizi wilaya ya Iringa vijijini Jackson Kiswaga   akikabidhi  pikipiki kwa chipukizi wilaya  hiyo huku viongozi mbali mbali wakishuhudia

No comments:

Post a Comment