| Kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa Salim Abri Asas wa piki kulia akimuapisha mlezi wa chipukizi wilaya ya Iringa Bw Jackson Kiswaga ambae ameteuliwa kushika nafasi hiyo leo |
| kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa Bw Asas kulia akimvisha kofia ya ulezi wa chipukizi Bw Jackson Kiswaga leo |
| Bw Kiswaga akikabidhiwa vitendea kazi na kamanda wa UVCCM mkoa Bw Salim Asas mara baada ya kuapishwa kuwa mlezi wa chipukizi wilaya ya Iringa vijijini leo |
| Hapa Bw Kiswaga akiondoka baada ya kukabidhiwa rasmi ulezi wa chipukizi wilaya ya Iringa vijijini |
| Mlezi wa chipukizi wilaya ya Iringa vijijini Jackson Kiswaga kulia akiwa na kamanda wa UVCCM wilaya hiyo DC wa pangani Bi Hafsa Mtasiwa |
|
Mlezi
wa Chipukizi wilaya ya Iringa vijijini Jackson Kiswaga akikabidhi
pikipiki kwa chipukizi wilaya hiyo huku viongozi mbali mbali
wakishuhudia
|

No comments:
Post a Comment